Katika blog hii tutazungumzia mahusiano na mafanikio. Tutachambua mbinu na mikakati ya namna ya kupiga hatua kila siku toka sehemu moja ya chini kwenda juu zaidi. Utaweza kujiongeza na kupata matumaini mapya ya maisha.
Kutokujiamini ni janga kubwa kwa mtu binafsi na kwa wale wanaomtegemea. Kutokujiamini kunakufanya ushindwe kupiga hatua katika Maisha yako na wakati mwingine usiwe mtu mwenye furaha. Kutokujiamini hutokea katika maeneo mbalimbali...
Kuna wakati unaweza kuwa unapitia magumu ambayo hakuna anayejua ila wewe na moyo wako tu, hali hiyo inakufanya wakati mwingine usiwe mwenye furaha ,unakuwa na hasira kila wakati ,hujiamini,umwamini mtu ...
Kuna watu wanaishi na mpaka watakufa hawajawahi kuishi maisha yao halisi mengi wanayoishi ni ya kuigiza,kuiga,unafiki,kujionyesha na kujifanya wapo sawa na wanajali zaidi wengine mpaka wanasahau yaliyo ya muhimu kwao.
*Vizuri...
*Usipokuwa makini na watu unaohusiana nao kirafiki au kimapenzi kuna uwezekano mkubwa wakachangia kuinua maono yako au kuyashusha kabisa.
*Kila uhusiano unaojihusisha nao lazima utafanya kitu kimoja wapo au viwili...
Katika maisha huwa tunapambana na mambo mengi ukiacha ya nje ya sisi wewe kama vile hali ya kiuchumi, elimu na siasa, kuna mapambano ambayo huwa tunayo ndani yetu ambayo bila mtazamo sahihi, kupata mafanikio ni ngumu.
Katika...
Tumekuwa tukifanya mambo kwasababu tumezoea hata kama hatufaidiki tunafanya tu.
Na hii imetukwamisha maeneo mengi kama shuleni,kazini,mahusiano ,biashara, familia na hata kwenye nyumba za ibada.
Katika makala hii tutaangalia...