Karibu hapa Tutunata

Katika blog hii tutazungumzia mahusiano na mafanikio.
Tutachambua mbinu na mikakati ya namna ya kupiga hatua kila siku toka sehemu moja ya chini kwenda juu zaidi. Utaweza kujiongeza na kupata matumaini mapya ya maisha.

Smiley face

Thursday, May 10, 2018

JINSI YA KUWA MTU MWENYE KUJIAMINI

No comments:
Kutokujiamini ni janga kubwa kwa mtu binafsi na kwa wale wanaomtegemea. Kutokujiamini kunakufanya ushindwe kupiga hatua katika Maisha yako na wakati mwingine usiwe mtu mwenye furaha. Kutokujiamini hutokea katika maeneo mbalimbali...
Continue Reading...

Sunday, April 29, 2018

AKILI UNAYOHITAJI WAKATI UPITAPO KWENYE SHIDA .

No comments:
Kuna wakati unaweza kuwa unapitia  magumu ambayo hakuna anayejua ila  wewe na moyo wako tu, hali hiyo inakufanya  wakati mwingine usiwe mwenye furaha ,unakuwa  na hasira kila wakati ,hujiamini,umwamini mtu ...
Continue Reading...

Thursday, April 26, 2018

UKIFANYA HIVI UTAISHI KWA HASARA.

No comments:
Kuna watu wanaishi na mpaka watakufa hawajawahi kuishi maisha yao halisi mengi wanayoishi ni ya kuigiza,kuiga,unafiki,kujionyesha na kujifanya wapo  sawa na wanajali zaidi wengine mpaka wanasahau yaliyo ya muhimu  kwao. *Vizuri...
Continue Reading...

MAMBO HAYA NI MUHIMU KATIKA MAHUSIANO YOYOTE

No comments:
*Usipokuwa makini  na watu unaohusiana nao kirafiki au kimapenzi  kuna uwezekano mkubwa wakachangia kuinua maono yako au kuyashusha kabisa. *Kila uhusiano unaojihusisha nao lazima utafanya  kitu kimoja wapo au viwili...
Continue Reading...

Wednesday, March 22, 2017

JITAMBUE: FAHAMU MTAZAMO UTAKAOUKUPA MAFANIKIO KATIKA MAISHA YAKO

No comments:
Katika maisha huwa tunapambana na mambo mengi ukiacha ya nje ya sisi wewe kama vile hali ya kiuchumi, elimu na siasa, kuna mapambano ambayo huwa tunayo ndani yetu ambayo bila mtazamo sahihi, kupata mafanikio ni ngumu. Katika...
Continue Reading...

Friday, March 17, 2017

KWANINI MAZOEA HAYA NI ADUI WA MAFANIKIO YAKO

No comments:
Tumekuwa tukifanya mambo kwasababu tumezoea hata kama hatufaidiki tunafanya tu. Na hii imetukwamisha maeneo mengi kama shuleni,kazini,mahusiano ,biashara, familia na hata kwenye nyumba za ibada. Katika makala hii tutaangalia...
Continue Reading...

Thursday, March 9, 2017

MAMBO 5 YA KUFAHAMU KABLA NA BAADA YA KUINGIA KATIKA MAPENZI

No comments:
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
Continue Reading...