Thursday, April 26, 2018

MAMBO HAYA NI MUHIMU KATIKA MAHUSIANO YOYOTE



*Usipokuwa makini  na watu unaohusiana nao kirafiki au kimapenzi  kuna uwezekano mkubwa wakachangia kuinua maono yako au kuyashusha kabisa.

*Kila uhusiano unaojihusisha nao lazima utafanya  kitu kimoja wapo au viwili kati ya hivi:
-Kukuinua
-kukushusha
-kukupoteza

*Uwe makini na watu unaotaka kuhusiana nao au waonataka kuhusiana nawe.
-Siyo wote Unaohusiana nao wanapenda kuona unafanikiwa.
-Watu unaohusiana nao kama hawakupandishi  kimtazamo basi wanakushusha.

*Usilazimishe wakuelewe  kile unachofanya maana pengine hawaoni unachokiona.

-Usiwe mwepesi kuzungumza maono yako kwa kila  aliye  karibu  yako ikiwa hujamuelewa vizuri.

-Wengi walio karibu  nawe hawataki uwazidi, wanataka mfanane.

-Watu wengi walioshindwa na kupoteza maono yao walikatishwa tamaa na watu  wa wakaribu  yao.

*Kumbuka siyo wote wanaotaka kuwa karibu nawe wana malengo mazuri kwako.
-Wengine wanataka  kuiga unachofanya.(kukuzunguka)
-Wengine wanataka kukumaliza.
-Wengine wafaidike na ulicho nacho kikiisha wataondoka(kupe)
-Wanataka  kukujua  kiu ndani(wakuaibishe).

-Wengine wanatafuta  kuchukua nafasi yako.(usaliti).

-Wengine wanataka  waonekane tu wapo na wewe.

*Tafuta kuhusiana na watu unaofanana nao kimtazamo na kitabia.
-Angalia watu waliofanikiwa kama wewe au waliokuzidi .
-Usiangalie tuu muonekano wa mtu  bali angalia maadili aliyo nayo.

Share this article :

2 comments:

  1. Ukiwa umefanya kazi maisha yako yote kujenga familia na urithi, huwezi kuruhusu kivuli cha mtu wa tatu kiiharibu katika miezi michache tu. Niligundua kuwa mabadiliko ya ghafla ya tabia ya mume wangu yalikuwa kuingiliwa kiroho, si tu mgogoro wa katikati ya maisha.

    Niliwasiliana na Mystic Kakaa kwa ajili ya uingiliaji kati wa kibinafsi. Kazi yake ilikuwa ya upasuaji. Alitambua kivuli na kukiondoa kabisa bila drama yoyote ya umma. Ndani ya siku 5, umakini wa mume wangu ulirudi nyumbani kwetu na katika mustakabali wetu. Ikiwa unalinda maisha yenye thamani kubwa na unahitaji bwana anayeelewa busara, wasiliana naye kwa: dawnacuna314@gmail.com

    WhatsApp: +2349046229159

    Yeye ndiye kiwango cha dhahabu.
    Kwa uchawi wa upatanisho wa uhusiano/ndoa.

    Uchawi wa kumfanya mpenzi wako wa zamani/mwenzi wako aombe msamaha.

    Uchawi wa kumrudisha mpenzi wako/kumvutia mpenzi mpya.

    Uchawi wa kurejesha mali/pesa zilizoibiwa.

    Mabadiliko ya umbo/Uchawi wa kutoweka.

    Uchawi wa kushinda bahati nasibu/kesi ya mahakama. Na zaidi

    ReplyDelete
  2. I want to give a testimony on how I got cured from Herpes Virus. Few months back I was having some symptoms. I went to see a doctor and many blood tests were done on me, later on I was told I had Herpes. My doctor told me that there’s no cure for Herpes. I felt bad, I went online searching for a possible cure for Herpes Virus, I saw a post of Dr. Dawn, a herbal doctor that’s helping people get cured from Herpes.Cancer.HIV and more I contacted him and told him how I’m feeling. He said his herbal medicine can cure me. He sent me the medicine via UPS delivery service and I received the medicine 6 days after he sent it, i took the medicine as prescribed by him. Before I completed the medication the symptoms stopped. I went to the doctor and carried out another blood test, surprisingly I was Negative. I haven’t had any symptoms anymore. Dr. Dawn is great and you can
    contact on WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    If you need herbal medicine to cure any chronic or sexual transmitted disease's like.
    HERPES.
    CANCER.
    HIV/AID'S and more

    ReplyDelete